technology

JE! UNAYAJUA ALIYO YA AHIDI MAKUFULI PANGANI??!!!!!!!!




1.Ataweka daraja katika MTO PANGANI
2.Barabara kwa kiwango cha lami TANGA mpaka BAGAMOYO ambayo kwa sasa ni barabara ya kifusi
3.Kuboresha huduma za afya-MADAWA-ZAHANATI.
4.Kujenga ukingo katika mto pangani,na katika kingo za ufukwe wa PANGADEKO,ambao kwa sasa unaliwa kwa kiasi kikubwa.











Post A Comment
  • Blogger Comment using Blogger
  • Facebook Comment using Facebook
  • Disqus Comment using Disqus

Hakuna maoni :