Rapa Phyno wa Nigeria apata shavu kubwa la ubalozi.
Rapa Phyno amekuwa balozi wa kampui beting nchni Nigeria. Phyno
ametia saini hii ya uboliza na kampuni ya Naira Bet akiwa na mwakilishi
wao Akin Alabi. Wasanii wengine watakao husika kwenye shughuli zake za
kutangaza kampuni hii ni mapacha wanaofanya muziki ‘Skuki’
NI MWANDISHI WA TOP NEWS BLOG, AMESHAFANYA KAZI YA UANDISHI NA UTANGAZAJI KATIKA KITUO CHA RADIO-PANGANI FM RADIO,LAKINI KWA SASA ANAENDELEA NA ELIMU YA JOURNALISM KATIKA NGAZI YA DIPLOMA-MUSLIM UNIVERSITY OF MOROGORO-TANZANIA
Post A Comment
Hakuna maoni :