technology

Shambulio latibuka Kenya

Shambulio hilo limefanyika karibu na Mpeketoni, ambapo wanamgambo wa Al Shabaab waliwauwa watu wapatao sitini na nane mwaka jana.
Taarifa zinasema, wasafiri katika walisikia mlipuko mkubwa uliofuatiwa na milio ya risasi.
Inasemekana kuwa washambuliaji walijaribu kulenga mabasi hayo kwa guruneti.
Maafisa wa usalama waliokuwepo walifyetua risasi kisha mabasi yaligeuza mwendo kurudi yalikotoka.
http://www.bbc.com/swahili/habari/2015/07/150708_lamu_attack?ocid=socialflow_facebook
Post A Comment
  • Blogger Comment using Blogger
  • Facebook Comment using Facebook
  • Disqus Comment using Disqus

Hakuna maoni :