Manchester United wanakaribia kuipata saini ya beki wa Torino Matteo Darmian
Manchester United wako katika hatua ya mwisho katika kumnasa beki wa torino ya italia Matteo Darmian baada ya majadiliano na klabu ya
Torino kufikia hatua ya juu.
United wanahitaji mchezaji ambaye anaweza kucheza nafasi ya nyuma baada ya meneja Louis van Gaal kuamua kuachana na Mbrazil Rafael ambaye ameonekana hayuko vizuri.
Darmian mwenye umri wa miaka 25 ambapo anamatumaini makubwa ya kujiunga na mashetani wekundu wa jiji la uingereza baada ya kufikia hatua nzuri ya mazungumzo na Torino kwa kitita cha £ 11million.
(chanzo Daily mail.co.uk)
United wanahitaji mchezaji ambaye anaweza kucheza nafasi ya nyuma baada ya meneja Louis van Gaal kuamua kuachana na Mbrazil Rafael ambaye ameonekana hayuko vizuri.
Darmian mwenye umri wa miaka 25 ambapo anamatumaini makubwa ya kujiunga na mashetani wekundu wa jiji la uingereza baada ya kufikia hatua nzuri ya mazungumzo na Torino kwa kitita cha £ 11million.

Post A Comment
Hakuna maoni :