Ripoti kutoka Uturuki, zinasena kuwa
mwili wa mtoto wa kike wa miaka minne kutoka Syria, umepatikana pwani
kando ya bahari ya Aegean.
Shirika la habari rasmi la Uturuki,
limearifu kuwa mashua iliyobeba wakimbizi, ilizama ilipokuwa ikijaribu
kufika kisiwa kimoja cha Ugiriki. Image copyrightReutersImage caption
Wasyria wengi wamekufa maji wakijaribu kutafuta maisha mapya Ulaya
Wa Syria 14 wengi wao watoto - wali-okolewa.
Majuma
mawili yaliyopita, picha za mtoto mdogo kutoka Syria, aliyezama
Uturuki, zilishutua ulimwengu, kuhusu mashaka yanayowakuta wakimbizi
wanaojaribu kufika Ulaya.
chanzo-bbcswahili.com
NI MWANDISHI WA TOP NEWS BLOG, AMESHAFANYA KAZI YA UANDISHI NA UTANGAZAJI KATIKA KITUO CHA RADIO-PANGANI FM RADIO,LAKINI KWA SASA ANAENDELEA NA ELIMU YA JOURNALISM KATIKA NGAZI YA DIPLOMA-MUSLIM UNIVERSITY OF MOROGORO-TANZANIA
Post A Comment
Hakuna maoni :