Kambi ya Lowassa sasa rasmi Chadema
Matukio hayo yametokea ikiwa ni mwendelezo wa wimbi la wanachama wa CCM kutangaza kuhamia vyama vya upinzani, hasa Chadema baada ya madiwani tisa pamoja na wanafunzi 28 wa vyuo vikuu kutangaza kuhamia Chadema ambayo ni chama kikuu cha upinzani.
Post A Comment
Hakuna maoni :