Siku tatu za kishindo; watano kutangaza nia CCM
Kwa ufupi
- CCM ipo kwenye wakati mgumu wa kutafuta mrithi wa Jakaya Kikwete katika nafasi ya urais na mwenyekiti wa chama hicho kikongwe nchini baada ya Rais huyo wa sasa kuongoza nchi kwa vipindi viwili vya miaka mitano kila kimoja na hivyo kulazimika kuondoka Ikulu kutokana na utashi wa kikatiba.
Post A Comment
Hakuna maoni :