Cristiano Ronaldo yuko tayari kurudi Manchester United - hata kama amepata offer kutoka PSG


lakini Ronaldo anapenda sana kutua United na kucheza Ligi Kuu ya Uingereza.
Hatahivyo makamu mwenyekiti wa United Ed Woodward ambaye ana uhusiano mzuri na wakala Jorge Mendes na anajua kwamba kumrejesha Ronaldo itakuwa kama soka sawa na kushinda bahati nasibu katika suala kibiashara.
Labels
MICHEZO
Post A Comment
Hakuna maoni :