technology

Volkswagen kurekebisha magari yake

Image copyright
Image captionMkurugenzi mpya kampuni ya Volkswagen Matthias Mueller
Kampuni ya magari ya Volkswagen imesema magari yake yaliayoathirika na sakata ya gesi chafu yatafanyiwa marekebisho.
Mkurugenzi mpya wa kampuni hiyo ya magari, Mathias Mueller amesema magari hayo yanatarajiwa kurudishwa ili kufanyiwa marekebisho kuanzia mwaka ujao.
Ameliambia gazeti moja nchini ujerumani kuwa mengi ya magari millioni 11 yanayotumia mafuta ya diesel yatafanyiwa marekebishi kidogo ya mitambo
chanzo-bbcswahili.com
Post A Comment
  • Blogger Comment using Blogger
  • Facebook Comment using Facebook
  • Disqus Comment using Disqus

Hakuna maoni :