Viwango vya juu vya joto vitakumba Dunia

Kulingana utafti uliofanywa, unaonyesha kuwa msimu wa El Nino kwa unashuhudiwa eneo la Pacific unatarajiwa kusambaa kote duniani.

Mkurugenzi wa idara utabiri wa hali ya hewa nchini Uingereza Prof Stephen Belcher, anasema , inaeleweka kuwa masuala ya asili huchangia kubadilika kwa hali ya hewa kila mwaka lakini viwango vya juu vya joto vya mwaka huu, ni ishata ya athari zinazochangiwa na kuongeza kwa gesi chafu duniani.
chanzo-bbcswahili.com
Labels
kimataifa
Post A Comment
Hakuna maoni :