HOT NEWS
Breaking news
Inaendeshwa na Blogger.

athumani matata

Fomu ya Anwani

Jina

Barua pepe *

Ujumbe *

Wanaofuata

Subscribe

Total Pageviews

Google Plus Card Widget

Google Plus Card Widget
Enjoy sport news

Auto Fb Page Inviter Script

Auto Fb Page Inviter Script
Hot news blog

Translate

slider1

technology

unadhani tatizo la muungano ni TZ peke yake? pata hii!!!! Je Catalonia itajitenga na Uhispania ?


Image copyright AP
Image caption Zaidi ya watu milioni tano wamejiandikisha kupiga kura .
Watu wa eneo la Catalonia nchini Uhispania wameanza kupiga kura katika uchaguzi uunaotazamwa kuwa mtihani mkubwa wa kuunga mkono Uhuru wa eneo hilo tajiri.
Zaidi ya watu milioni tano wamejiandikisha kupiga kura .
Wanachama wa vyama vya Catalan, wanaotaka kujitenga na ambao wanaongoza katika kura ya maoni wanasema kuwa ushindi utavipa vyama vyao uwezo wa kutangaza
Image copyright AP
Image caption Je Catalonia itajitenga na Uhispania ?
kwa kauli moja uhuru wao.
Serikali ya Uhispania ambayo inakataa kata kata kukubalia shughuli hizo za upigaji wa kura ya maoni kuhusiana na swala hilo imetaja kura hiyo ya maoni kama upuzi
Image copyright Getty
Image caption Kocha wa Bayern Munich Pep Guardiola akipiga kura
mtupu.
Uchaguzi huo unaonekana kama swala muhimu katika historia ya hivi punde ya Uhispania.

chanzo-bbcswahili.com
Post A Comment
  • Blogger Comment using Blogger
  • Facebook Comment using Facebook
  • Disqus Comment using Disqus

Hakuna maoni :