technology

Hali mbaya mabadiliko ya tabia nchi yaiweka mashakani wilaya ya PANGANI

Hali hiyo imesababisha mawambi makubwa katika bahari ya hindi,na kusababisha fukwe za pangadeko zilizopo katika wilaya ya PANGANI kumegwa kwa kiasi kikubwa  na maji.

Hali hiyo pia imesababisha watu kutumia maji ya chumvi kutokana na visima vingi vinavyo tumiwa na wakazi wa WILAYA hiyo kuchanganyikana na maji ya bahari.
Post A Comment
  • Blogger Comment using Blogger
  • Facebook Comment using Facebook
  • Disqus Comment using Disqus

Hakuna maoni :