technology


Roberto Firmino
Here is new #LFC signing Roberto Firmino wearing the famous red shirtRoberto Firmino mwenye umri wa miaka23 amekamilishavipimo vyake vya  matibabu na yuko tayari kuanza maisha mapya  nchini Uingereza katika klabu yake mpya ya liverpool.
Mbrazil huyo amesajiliwa kwa kitita cha dau la paundi £ 29million  kutoka Hoffenheim kwenda Anfield, Liverpool kwa mkataba wa kuichezea kwa miaka mitatu .
Roberto Firmino amefunga  mabao 47 katika mechi 151 katika Ujerumani hiyo inaonyesha mchezaji huyo anauwezo mkubwa anhttp://www.mirror.co.uk/sport/football/news/roberto-firmino-excited-liverpool-challenge-6018508apokua dimbani.
Post A Comment
  • Blogger Comment using Blogger
  • Facebook Comment using Facebook
  • Disqus Comment using Disqus

Hakuna maoni :