MAJAMBAZI WAUA MFARANSA NA KUPORA FEDHA
Akitoa tarifa hiyo kamanda wa polisi mkoa wa tanga Zuberi Muumbenji amesema watu hao pia walifanikiwa kuondoka na gari la wafaransa hao lenye namba za usajili T882AYT.
Hata hivyo tayari watu watano wameshakamatwa kutokana na tukio hilo kwa niamba ya uchunguzi zaidi na gari lililo tekwa lilikutwa limetelekezwa barabara ya miono kuelekea Bagamoyo.
Hata hivyo tayari watu watano wameshakamatwa kutokana na tukio hilo kwa niamba ya uchunguzi zaidi na gari lililo tekwa lilikutwa limetelekezwa barabara ya miono kuelekea Bagamoyo.
Post A Comment
Hakuna maoni :