technology

HII NI TAHADHARI KWA WAKAZI WA PANGANI NA UKANDA WA BAHARI YA HINDI KWA UJUMLA.







Image result for fukwe bahari  tangaWananchi Wilayani Pangani wametakiwa kuchukua tahadhari juu ya kuwepo kwa mabomu  katika ukanda wa pwani wa bahari ya hindi ili kufanikisha  kukamatwa kwa yeyote  atakae husika na hilo.
Akizungumza na Pangani fm  Katibu tawala wilayani Ndugu PETER MABUGA amesema  wamepokea taarifa kutoka mkoani  juu ya kuwepo kwa  mabomu  katika pwani ya bahari ya hindi.

 Aidha Bwana MABUGA  amewataka wamiliki wa vyombo vya usafiri    wilayani pangani kuchukua tahadhari ya kukagua mizigo kwa abiria  ili kutambua baadhi ya abiria waliobeba miripuko.

Hata hivyo ndugu …..ametoa maelekezo kwa vingozi wa kata na vijiji na kamati za ulinzi na usalama kukaa vikao ili kuchuka tahadhari juu ya taarifa hii.
Post A Comment
  • Blogger Comment using Blogger
  • Facebook Comment using Facebook
  • Disqus Comment using Disqus

Hakuna maoni :