Askari na nchi kuenziwa katika siku ya kimataifa ya walinda amani wa UM

Kwa upande wake Mnadhimu Mkuu wa Ofisi ya Kijeshi ya Idara
ya Ulinzi wa Amani ya Umoja wa Mataifa, DPKO, Brigedia Jenerali Ahamed
Mohammed amesema kuelekea siku hii adhimu maandalizi yanaendelea ambapo
pamoja na mambo mengine ametaja mambo yatakayofanyika ikiwa nisehemu ya
kuwaenzi walinda amani waliopoteza maisha na wale wanaoendelea na zoezi
hilo.
Katika mahojiano maalum na idhaa hii mjini New York
Brigedia Jenerali Mohammed anasema hafla tatu muhimu zitafanyika ikiwamo
kuweka shada la maua ili kuwaenzi walinda amani waliopoteza maisha
Post A Comment
Hakuna maoni :