technology

HATIMAYE DR.KIZA BESIGYE AMEKWENDA KUINDHINISHWA KUINGIA KATIKA KINYANG'ANYIRO CHA KUGOMBEA URAISI -UGANDA


ikiwa zimepita siku 11 baada ya nchi ya TANZANIA kufanya uchaguzi mkuu, lakini leo Mamia ya wafuasi wa Dr. Kiza Besigye wamefurika kwenye barabara za jiji la Kampala pale alipoelekea kwenye zoezi la kuidhinishwa kuwa mgombea urais na baadaye akielekea mahali ambapo amezindua rasmi kampeni zake. 


Hata hivyo mgombea huyo wa chama cha FDC angali analalamikia hali ya tume ya uchaguzi kutokuwa na uwezo wa kuendesha uchaguzi kwa njia huru na haki. 
Hii ikiwa siku ya pili na ya mwisho ya shughuli hiyo, wagombea wanane akiwemo mwanamke mmoja wameidhinishwa na tume ya uchaguzi nchini humo kushiriki katika kinyang’anyiro hicho.
Post A Comment
  • Blogger Comment using Blogger
  • Facebook Comment using Facebook
  • Disqus Comment using Disqus

Hakuna maoni :