HOFU YA WAYNE ROONEY KUIKOSA MICHUONO YA KUFUZU KOMBE EUro 2016 YATANDA
kwahiyo Rooney anaweza kuikosa kuikosa mechi kati ya England vs Estonia itakayo chezwa siku ya ijumaa na ile watakayo cheza na Lithuani siku tatu baada ya kucheza na Estonia.
Rooney alipata majeraha ya enka katika mechi yao na Arsenal.
Labels
MICHEZO
Post A Comment
Hakuna maoni :