JE!! WAJUA !!!!!!! Ethiopia kukaribsiha mwaka wa 2008 kesho
Raia wa Ethiopia wanajianda kwa sherehe za mwaka mpya hii kesho kuukaribishwa mwaka wa 2008.
Kalenda ya Ethiopia ni miaka saba ya Kalenda zinazotumika kote duniani.Barabara za miji, maduka na hata makaazi ya watu zimepamba vilivyo kwa maua na taa za kumetameta.
Wafanyabiashara nao wamenufaika pakubwa huku raia wakinunua bidhaa mbali mbali katika harakati za kusherehekea mwaka mpya.
Kwa sasa fundu moja la maua hiyo inauzwa kwa Birr 10 pesa za Ethiopia ambazo ni sawa na dola 0.50.
Pia nyasi zinazotundikwa sakafuni wakati wa sherehe hizo zimepata wateja wengi.
chanzo-bbc swahili.com
Labels
kimataifa
Post A Comment
Hakuna maoni :