Polisi
nchini Thailand wametoa picha ya mwanamme aliyevaa fulana ya manjano
ambaye anahusishwa na mlipuko ambao uliukumba mjini wa Bangkok siku ya
Jumatatu na kuwaua watu 20.
Picha hiyo inaonyesha mwanamme mzungu , mwenye nywele nyeusi ambaye pia alikuwa amavaa miwani.
Haijabainika ikiwa mtu huyo ni raia wa Thailand. Picha ya mshambuliaji yatolewa Thailand
Polisi wanaamini kuwa mwanamme
huyo hakutekeleza kitendo hicho peke yake lakini bado hawana uhakika
kuhusu ni nani aliendesha shambulizi hilo na ni kwa sababu gani.
Eneo lililoshambuliwa limefunguliwa tena na watu wengi wamekuwa wakiwasha ubani , wakiomba na kuweka maua.
NI MWANDISHI WA TOP NEWS BLOG, AMESHAFANYA KAZI YA UANDISHI NA UTANGAZAJI KATIKA KITUO CHA RADIO-PANGANI FM RADIO,LAKINI KWA SASA ANAENDELEA NA ELIMU YA JOURNALISM KATIKA NGAZI YA DIPLOMA-MUSLIM UNIVERSITY OF MOROGORO-TANZANIA
Post A Comment
Hakuna maoni :