technology

Picha ya mshambuliaji yatolewa Thailand


Polisi nchini Thailand wametoa picha ya mwanamme aliyevaa fulana ya manjano ambaye anahusishwa na mlipuko ambao uliukumba mjini wa Bangkok siku ya Jumatatu na kuwaua watu 20.
Picha hiyo inaonyesha mwanamme mzungu , mwenye nywele nyeusi ambaye pia alikuwa amavaa miwani.
Haijabainika ikiwa mtu huyo ni raia wa Thailand.
Picha ya mshambuliaji yatolewa Thailand
Polisi wanaamini kuwa mwanamme huyo hakutekeleza kitendo hicho peke yake lakini bado hawana uhakika kuhusu ni nani aliendesha shambulizi hilo na ni kwa sababu gani.
Eneo lililoshambuliwa limefunguliwa tena na watu wengi wamekuwa wakiwasha ubani , wakiomba na kuweka maua.

(chanzo bbcswahili.com)
Post A Comment
  • Blogger Comment using Blogger
  • Facebook Comment using Facebook
  • Disqus Comment using Disqus

Hakuna maoni :