JE !!! WAJUA ???Kulala mchana kunazuia mshutuko wa moyo
Takriban watu 400 waliokuwa na shinikizo la damu walishiriki katika utafiti uliofanywa nchini Ugiriki. Matokeo ya utafiti huo yaliwasilishwa katika chama kinachohusika na masuala ya damu barani ulaya.
Watafiti sasa wanataka kufanya uchunguzi zaidi kuhusu matokeo yanayotakana na watu kulala saa za mchana.
(chanzo bbcswahili.com)
Post A Comment
Hakuna maoni :