technology

Watu kadhaa wa wajeruhiwa na wa wili mwahofiwa kufa baada ya kutokea mlipuko Norwich

Msemaji wa zima moto na Uokoaji Norfolk alisema  "Sisi walituita kunako majira ya saa  09:06 ambapo mlipuko huo ulipotokea na nivigumu kusema ukubwa wa mlipuko"

"Tulipofika moshi ulikuwa ulikua unatoka  kutoka katika  jengo kubwa, wafanyakazi wetu waliingia ndani na kuanza kuuzima moto huo na kuokoa baadhi ya ,mali ,lakini kwa bahati mbaya   watu wawili walikufa katika eneo la tukio.

" Tuna uchunguzi wa pamoja na polisi ambao unaendelea na ni muhimu sisi sasa kutafuta  sababu ya mlipuko na  kuzuia jambo kama hili kutotokea tena'



(Chanzo mirror.co.uk) http://www.mirror.co.uk/news/uk-news/norfolk-explosion-live-updates-after-6057065
Post A Comment
  • Blogger Comment using Blogger
  • Facebook Comment using Facebook
  • Disqus Comment using Disqus

Hakuna maoni :