Je! unajua ya kwamba Bastian Schweinsteiger amekua Mjerumani wa kwanza kucheza Manchester United
Bastian Schweinsteiger ajisikia fahari kwa kuwa Mjerumani wa kwanza kucheza Manchester United na anaamini kuwa atafanya kazi kubwa na nzuri .
Mjerumani huyo alichaza katika kikosi kilicho beba kombe la dunia alijiunga Red Devils kwa £ 15million
Schweinsteiger amekiambia MUTV: 'Ni heshima kubwa. Mimi nilikuwa utani na Wayne [Rooney] kuhusu suala hilo kabla, lakini ni heshima kubwa kwa kuwa mchezaji wa kwanza wa Ujerumani kucheza man united
Post A Comment
Hakuna maoni :