technology

CUF WAKANUSHA KUSUSIA VIKAO VYA UKAWA


Image result for UKAWA CUFChama cha wananchi CUF nchini tanzania ambacho ni miongoni mwa vyama vinne vinavyounda umoja wa katiba ya wananchi UKAWA kimekanusha kuwa kimesusia vikao vya umoja huo ambavyo vimeendelea kikisema kwanza kinataka kurejea katika katiba yao ili wafanye maamuzi kwa mujibu wa katiba ya chama hicho. Haya yanajiri baada ya baadhi ya vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kuripoti kuwa chama hicho kimejiengua kutoka katika umoja huo kwa madai kuwa chama hicho hakijapewa nafasi ya kuteuwa mgombea ikizingatiwa kuwa mwenyekiti wa chama hicho Profesa Ibrahim Lipumba
ana sifa za kuwakilisha umoja huo katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika October 25.
(DW idhaa ya kiswahili)
Post A Comment
  • Blogger Comment using Blogger
  • Facebook Comment using Facebook
  • Disqus Comment using Disqus

Hakuna maoni :