technology

Rapa T.I aomba msamaha kwa kauli yake kuhusu kutompigia kura rais mwanamke.

ti-hillary-clinton
Rapa T.I ameomba msamaha kwa kauli yake kuhusu kumpigia kura rais mwanamke. Kupitia interview aliyofanyiwa na dj Whokid, T.I alisema hana mpango wa kumpigia kura rais mwanamke, wana haraka ya kufanya maamuzi na kwa kutumia hisia zao zaidi.
Baadae T.I alisema kupitia twitter “I sincerely apologize to everyone I offended.”
Post A Comment
  • Blogger Comment using Blogger
  • Facebook Comment using Facebook
  • Disqus Comment using Disqus

Hakuna maoni :