Maiti za wakimbizi 100 zapatikana pwani ya Libya


Shirika la Hilali Nyekundu la Libya linasema wengi kati ya wahanga hao walikuwa wakimbizi kutoka nchi za Kiafrika waliokuwa wakijaribi kuingia Ulaya kupitia Libya.
Katika miezi ya hivi karibuni maelfu ya wakimbizi, wengi wao wakiwa ni kutoka nchi za Afrika na Mashariki ya Kati, wamekimbia nchi zao zilizokumbwa na machafuko na vita vya ndani wakitaka kuingia katika nchi za Ulaya. Maelfu miongoni mwao wamefariki dunia kwa kuzama baharini.
chanzo-tehran radio
Post A Comment
Hakuna maoni :