technology

KURA KUHESABIWA TANZANIA



7:20am: Usalama umeimarishwa katika kituo kikuu cha kujumlisha matokeo katika ukumbi wa Julius Nyerere. Tume inatarajiwa kutoa matokeo ya kwanza saa tatu.
Image caption Masanduku ya kupigia kura
7:15 am: Mjini Mwanza, kaskazini magharibi mwa Tanzania, masanduku ya kura yanaendelea kukusanywa katika afisi kuu kabla ya kuanza kwa shughuli ya kuhesabu kura.
Image caption Uchaguzi tanzania
7.00 am: Maafisa wanaanza kuingia mmoja mmoja kituo cha kupigia kura Kimara Stop Over, Dar es Salaam ambako wapiga kura wanatarajiwa kupiga kura zao za urais na ubunge baada ya uchaguzi kutatizika jana. Wapiga kura walifikia kituoni tena mapema sana leo.
Image caption Raia wa kwanza
6.00 am: Kituo cha Kimara Stop Over jijini Dar es Salaam ambako uchaguzi unafaa kufanyika leo baada ya kutatizika jana, maafisa wa kusimamia uchaguzi bado hawajafika kituoni.
Tume ya Taifa ya Uchaguzi Tanzania imesema itaanza kutoa matokeo rasmi ya uchaguzi wa urais leo saa tatu katika jumba la mikutano la Julius Nyerere, Dar es Salaam. Hata hivyo kuna maeneo ambayo uchaguzi haukufanyika Jumapil
Post A Comment
  • Blogger Comment using Blogger
  • Facebook Comment using Facebook
  • Disqus Comment using Disqus

Hakuna maoni :