USIPITWE NA HI!!!Andre Ayew mechazaji bora Uingereza
Mshambulizi matata wa klabu
ya Swansea City Andre Ayew, ameteuliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi
uliopita, katika ligi kuu ya Uingereza ya Premier.
Image copyrightGettyImage caption
Andre Ayew
Nahodha huyo wa timu ya taifa ya Ghana mwenye umri
wa miaka 25, amefunga magoli matatu, msimu huku, huku Swansea ikiwa
haijapoteza mechi yoyote msimu huu. Image copyrightGettyImage caption
Wachezaji wa Swansea
Swansea inashikilia nafasi ya nne kwenye msururu wa ligi kuu, ikiwa na alk alama nane, baada ya kucheza mechi nne. Image copyrightGettyImage caption
Andre Ayew
Manchester City ingali kileleni na alama 12 ikifuatwa na Crystal Palace na Leicester zikiwa na alama tisa na nane mtawalia.
NI MWANDISHI WA TOP NEWS BLOG, AMESHAFANYA KAZI YA UANDISHI NA UTANGAZAJI KATIKA KITUO CHA RADIO-PANGANI FM RADIO,LAKINI KWA SASA ANAENDELEA NA ELIMU YA JOURNALISM KATIKA NGAZI YA DIPLOMA-MUSLIM UNIVERSITY OF MOROGORO-TANZANIA
Post A Comment
Hakuna maoni :