technology

IS kwenye headline tena yateka kambi ya wanahewa wa Syria

Ripoti kutoka nchini Syria zinasema kuwa kambi moja ya jeshi la wanahewa kaskazini mwa nchi imetekwa na wanamgambo wa Islamic state.
Kambi hiyo ilikuwa imezungukwa kwa kipindi cha miaka miwili.
Runinga ya taifa nchini Syria inasema kuwa wanajeshi waliondoka katika kambi ya Abu Duhur iliyoko kwenye mkoa wa Idlib.
Image copyright Reuters 
Wanajeshi hao waliondoka baada ya mashambulizo ya kila mara kutoka kwa kundi la Nusra Front
Wanajeshi hao waliondoka baada ya mashambulizo ya kila mara kutoka kwa kundi la Nusra Front lenye uhusiano na kundi la kigaidi la Al Qaeda.
Kambi hiyo ilikuwa kituo cha mwisho kilichokuwa kikidhibitiwa na serikali katika mkoa wa Idlib.

chanzo- bbc.com/swahili/habari
Post A Comment
  • Blogger Comment using Blogger
  • Facebook Comment using Facebook
  • Disqus Comment using Disqus

Hakuna maoni :