Korea Kaskazini yaitishia Korea Kusini
Huku
msukosuko ukiendelea kushuhudiwa katika rasi ya Korea, Korea kusini
inasema kuwa Korea Kaskazini imepeleka silaha kwenda kwa mpaka baada ya
kutoa vitisho vya kuharibu vipasa sauti vinavyotangaza propaganda kutoka
Korea kusini.
Muda wa mwisho uliotangazwa na Korea Kaskazini wa
kutaka kuondolewa kwa vipasa sauti hivyo unatarawajiwa kukamilika saa
chache zinazokuja,
Mwandishi wa BBC nchini Korea Kusini anasema kuwa ni muda uliotangazwa na korea kaskazini ndio unaoifanya hali kuwa hatari zaidi.
Post A Comment
Hakuna maoni :