Kenya na Ethiopia zashinda dhahabu

Amel Tuka wa Bosinia Haerzegovina ambaye anashikilia mda bora mwaka huu alichukua medali ya shaba.
Hatahivyo mbio hizo zilikosa msisimuko wake baada ya mwanariadha wa Botswana Nijel Amos na mwenzake wa Ethiopia Mohammed Aman kushindwa kufuzu katika fainali.

Raia wa Urusi Denis Kudryavtsev alichukua medali ya fedha huku Jeffery Gibson wa Bahamas akimaliza wa tatu.
Ilikuwa medali ya kwanza ya Kenya katika mbio fupi katika mashindano ya dunia.
Katika upande wa wanawake mwanariadha wa Ethiopia Genzebe Dibaba alichukua dhahabu katika mbio za mita 1500.

Faith Chepngetich Kipyegon alichukua nafasi ya pili huku Sifan Hassan wa Uholanzi akimaliza wa tatu.
(chanzo bbcswahili.com)
Post A Comment
Hakuna maoni :