technology

Afrobasket:Tunisia yaicharaza Uganda

Michuano ya mpira wa kikapu Afrika yalianza jumatanao nchini Tunisia kwa wenyeji Tunisia kuanza na ushindi baada ya kuichapa Uganda kwa vikapu 77 kwa 55.
Nigeria waliwalaza Jamuhuri ya Afrika ya kati kwa vikapu 88 kwa 63.
Na katika kundi C Misri iliwalaza Gabon kwa kwa vikapu 96 kwa 49.
Huku Cameroon ikiichapa mali kwa jumla ya vikapu 70 kwa 56
Michuano hiyo inaendelea tena Alhamisi kwa michezo minne kuchezwa katika kundi B
Mabingwa watetezi Angola watacheza na Msumbiji ,Senegal wakiwakabili Morocco
huku kundi D Algeria wakiwakabili Zimbabwe na Ivory Coast wakipepetana na visiwa vya Cape Verde

chanzo bbcswahili.com
Post A Comment
  • Blogger Comment using Blogger
  • Facebook Comment using Facebook
  • Disqus Comment using Disqus

Hakuna maoni :