Afrobasket:Tunisia yaicharaza Uganda

Na katika kundi C Misri iliwalaza Gabon kwa kwa vikapu 96 kwa 49.
Huku Cameroon ikiichapa mali kwa jumla ya vikapu 70 kwa 56
Michuano hiyo inaendelea tena Alhamisi kwa michezo minne kuchezwa katika kundi B
Mabingwa watetezi Angola watacheza na Msumbiji ,Senegal wakiwakabili Morocco
huku kundi D Algeria wakiwakabili Zimbabwe na Ivory Coast wakipepetana na visiwa vya Cape Verde
chanzo bbcswahili.com
Post A Comment
Hakuna maoni :