technology

Ugiriki: Waziri wa fedha wa Ugiriki, Yanis Varoufakis, ajiuzul

Yanis Varoufakis amejiuzulu licha ya ushindi wa kura ya "hapana" katika kura ya maoni iliyofanyika Jumapili Jualai 5 nchini Ugiriki. Varoufakis ametetea uamzi wake wa kujiuzuluakinaini kwamba ni kwa nia ya kuwezesha kupata makubaliano na wakopeshaji wa nchi ya Ugiriki, akitoa mfano wa "upendeleo fulani wa baadhi ya wanachama wa eneo la chi zinazotumia sarafu ya Euro na wafadhili kwa kukosekana (kwake) katika mikutano."
Post A Comment
  • Blogger Comment using Blogger
  • Facebook Comment using Facebook
  • Disqus Comment using Disqus

Hakuna maoni :