technology

Kumbukumbu ya Shambulizi la kigaidi London

http://www.bbc.com/swahili/habari/2015/07/150707_77_england_anniversary
Raia wa Uingereza leo wameadhimisha mia kumi tangu shambulio la kigaidi katika kituo kimoja cha treni.
Raia wa Uingereza leo wameadhimisha mia kumi tangu shambulio la kigaidi katika kituo kimoja cha treni.
Watu 52 waliuawa katika shambulizi hilo lililotekelezwa na kundi la waislamu wenye msimamo mkali.
Maafisa wa uokozi na familia ya wahasiriwa walihudhuria misa maalum katika kanisa la mtakatifu Paulo mjini London.
nullCameron, aliweka shada la maua katika eneo la kumbukumbu katika bustani ya Hyde Park.
Awali waziri mkuu wa Uingereza David Cameron, aliweka shada la maua katika eneo la kumbukumbu katika bustani ya Hyde Park.
Mabomu manne yalilipuka, wakati wa shambulio hilo, matatu yakiwa yametegwa ndani ya treni inayotumia barabara za chini ya ardhi na nyingine kwenye basi moja la abiria.
Wakati wa hafla hiyo Cameron alisema kuwa Uingereza haiwezi kutishwa na Ugaidi.
nullWaziri mkuu wa Uingereza David Cameron amesema kuwa nchi yake haitaingizwa hofu na matendo ya kigaidi
Na katika tangazo ambalo halikutarajiwa mkurugenzi wa shirika la upelelezi MI5 Andrew Parker amesema maafisa wake wanafanya kila juhudi ili kuzuia kile alichokitaja kama changamoto kuu inayokumba taifa hilo.
Bwana Parker amesem akuwa idara yake inafanya kila iwezalo kuwalinda waingereza
Bwana Cameron amesema kuwa mauaji ya waingereza zaidi ya thelathini nchini Tunisia ni kama ukumbusho wa kutisha kuwa ugaidi upo na unaweza kutokea wakati wowote.
Post A Comment
  • Blogger Comment using Blogger
  • Facebook Comment using Facebook
  • Disqus Comment using Disqus

Hakuna maoni :